Ndugu wanaDiaspora,
Tafadhali pokea barua hii kutoka kwa Bw. Dismas Assenga kwa niaba ya Mhe. Balozi kuhusu kichwa cha habari:
UFAFANUZI WA SHERIA YA ARDHI KWA DIASPORA MTANZANIA.
http://dicotaus.org/wp-content/uploads/2012/10/BARUA-KWA-WENYEVITI-MAKATIBU-JUMUIYA-YA-WATANZANIA-DIASPORA-MAREKANI.pdf
Kama kutakuwa na swali lolote au ufafanuzi zaidi, tafadhali wasiliana moja kwa moja na ubalozi kupitia email
ya: ubalozi@tanzaniaembassy-us.org au 202-884-1087.
Asanteni.
DICOTA